Billboard yatangaza kumtunuku Drake tuzo ya heshima ya msanii bora

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA






Billboard wametangaza kumtunuku rapa Drake tuzo ya heshima ya msanii bora wa Muongo (kipindi cha miaka 10).
Drake anatarajiwa kutunukiwa tuzo hiyo ya heshima kwenye hafla za ugawaji wa tuzo za #BBMAs ambazo zitafanyika Mei 23 mwaka huu.

Drake anatajwa kuwa msanii kinara aliyeshinda tuzo nyingi za Billboard ambapo ana jumla ya tuzo 27 za 'Billboard Music Awards'.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad