Breaking: Asukile wa Prisons Afungiwa Mechi Tano na Fainial

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





NAHODHA wa kikosi cha Tanzania Prisons, Benjamin Asukile amefungiwa na Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) michezo mitano na faini ya shilingi 500,000, (laki tano).


Kwa mujibu wa taarifa ambayo imetumwa na TFF kupitia Ofisa Habari wake Clifford Ndimbo imeeleza kuwa TFF ilipitia ripoti mbalimbali za michezo ya Kombe la Shirikisho , (Azam Sports Federation Cup) baada ya kumalizika raundi ya tano ikiwemo mchezo namba 094 kati ya Tanzania Prisons v Yanga.

Taarifa hiyo imeeleza namna hii:-
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad