Feza Kessy ala shavu kwa D'Banj, Awa Msanii wa Kwanza

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mshiriki wa zamani wa mashindano ya urembo na Big Brother Africa Housemate Feza Kessy ame-sign dili la usimamizi wa kazi zake za muziki  na lebo “DB Records” ya mkongwe D’banj kutoka Nigeria. 

Mtanzania huyo amekaribishwa leo kupitia ukurasa rasmi wa instagram wa Bangalee na lebo hiyo na anakuwa msanii wa kwanza wa kike.

Feza aliyekuwa Miss Dar City Centre na Miss Ilala mwaka 2005, alifanya vizuri na nyimbo kama “Amani ya Moyo na My papa” huku kiwataja wasanii Toni Braxton, Rihanna, Lauren Hill, Tiwa Savage na 2 Face kuwa ndio wanamvutia sana.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad