Fid Q "Kuna Rich Mavoko halafu kuna wengine, navutiwa sana na uimbaji wake"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Rapa kutoka katika kiwanda cha muziki cha Bongo Fleva Farid Kuband alimaarufu Fid Q ameandika kupitia ukurasa wake wa Instagram akionyesha kuvutiwa na uimbaji wa msanii Rich Mavoko, akiambatanisha na ngoma ya Mavoko mpya ya #Mapenzi, Fid Q ameandika kuwa:



“Kuna huyu——-> @richmavoko halafu kuna wengine kama watatu au wanne.. ninavutiwa sana na TUNGO zao pamoja na “ufanisi wa mawimbi ya sauti” wanaouweka kwenye uimbaji wao.. ( wengine waliobaki ✋🏾 waniache kwanza 😀
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad