"Mapenzi kwanza sio pesa" - Vera Sidika

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Kutoka 254 Kenya mrembo Vera Sidika amesema hana ndoto ya kuolewa na mwanaume Milionea, Bilionea au tajiri ndio maana hata ukimuwekea mapenzi na pesa basi atachagua upande wa mapenzi kwanza.

Vera Sidika amejibu hilo baada ya kuulizwa na shabiki kupitia 'Insta Story' ambapo alitoa nafasi kwa mashabiki kumuuliza swali lolote wanalojisikia, shabiki huyo aliuliza kwamba "utaenda kwenye pesa au mapenzi".


"Nitachagua mapenzi kila wakati, tangu kitambo sijawahi kuwa msichana mwenye ndoto ya kuolewa na Milionea, Bilionea au tajiri mimi sio mtu wa aina hiyo ninachokitaka kutoka kwa Baby wangu ni mapenzi" ameeleza Vera Sidika


Vera Sidaka kwa sasa yupo kwenye mahusiano na msanii Brown Mauzo awali aliwahi ku-date na mtanzania Jimmy Chansa.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad