Mtangazaji Casto Dickson aacha kazi Clouds

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Mtangazaji Casto Dickson ametangaza rasmi kuacha kazi katika kituo cha Clouds Media. Mtangazaji huyo aliyekuwa anafanya kipindi cha Siz kitaa, amewahi kutajwa kuwa moja kati ya watangazaji bora wa vipindi vya burudani nchini.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Casto ama Mwananchi kama ambavyo anapenda kujiita, ame-share taaarifa hiyo ya kuacha kazi sambamba na kuomba kuanzia sasa biashara yoyote inayojihusisha na jina lake ipuuzwe.

Pia awataka mashabiki wake wamuunge mkono atakapoelekea.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad