“Natumia ubabe kupata Suluhu” DC Sabaya akihojiwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


“Lengai_ole_sabaya ni mtu anayechanyanga njia zote ili kupatika suluhu ya haki za wananchi ambaye anaweza kuwa Mbabe kama kuna ubabe, anaweza kuwa mpole pia ni mtu wa imani na kusali kama Suluhu itapatikana kwa njia hiyo. Natumia njia zote hizo ili kupata suluhu na majawabu ya wanachi” DC Sabaya

“Mimi ni mtu wa kawaida tu ambaye anatoka kwenye background ya kawaida kabisa ya maisha ya kawaida kabisa. Nahangaika na watu na cha kwanza ni kuwasaidia watu wa kawaida kabisa ili wapate haki zao, inawezekana njia hizo zikawa na tafsiri nyingi hasa kwenye majukumu ya Mkuu wa wilaya” DC Sabaya

“Huwezi kumfurahisha kila mtu kupata Suluhu ya wananchi na majawabu ya kero za watu, mwingine ukimwambia acha anaacha, kuna mwingine ukimwita ukimwambia sijapenda anakoma, mwingine ukimfokea anaacha na mwingine ukimkamata ndio anaacha kwahiyo kama kwahiyo hizi njia zote zinatumika ili nipate. Kwahiyo ukiwa Kiongozi unatumia njia tofauti tofauti kulingana na Mazingira husika” Mkuu wa wilaya ya Hai

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad