TAFITI: MAAMBUKIZI YACOVID-19 INAWEZA KUPELEKEA UHANITHI

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Watafiti wa University of Miami's Miller School of Medicine wamechapisha katika Jarida la Afya ya Wanaume kuwa Virusi vya Corona vinaweza kusababisha Mwanaume kushindwa 'kusimamisha'

Tafiti imeonesha Corona huathiri Mishipa ya Damu ambayo pia hupeleka Damu kwenye dhakari, hivyo ikiathiriwa hupelekea tatizo hilo

Wanasayansi wameona haja ya Wanaume kuangaliwa zaidi kwenye suala la Chanjo ya #COVID19 ili kuepuka tatizo


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad