AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) ni Mtu 1 kati ya 500 kutoka Nchi za kipacho cha chini ndio ana uwezo wa kupatiwa chanjo ya #COVID19 ikilinganishwa na Nchi zilizoendelea ambapo ni mtu mmoja kati ya wanne amepata chanjo
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN) António Guterres amesema hakuna atakayekuwa salama hadi watu wote wawe salama akiongeza Virusi vya Corona ni hatari popote vitakapokuwa vimesambaa
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK