WHO: MTU 1 KATI YA 500 ANAWEZA KUPATA CHANJO KWA NCHI ZINAZOENDELEA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) ni Mtu 1 kati ya 500 kutoka Nchi za kipacho cha chini ndio ana uwezo wa kupatiwa chanjo ya #COVID19 ikilinganishwa na Nchi zilizoendelea ambapo ni mtu mmoja kati ya wanne amepata chanjo


Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN) António Guterres amesema hakuna atakayekuwa salama hadi watu wote wawe salama akiongeza Virusi vya Corona ni hatari popote vitakapokuwa vimesambaa


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad