Ajali ya ndege Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Watu watatu wameripotiwa kupoteza maisha baada ya ndege ya kibiashara iliyokuwa imewabeba kuanguka muda mfupi baada ya kuruka kutoka mkoa wa Kivu Kusini, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).

Kulingana na ripoti za vyombo vya habari vya kitaifa, ndege hiyo ya kibiashara ilianguka muda mfupi baada ya kuruka kutoka Uwanja wa ndege wa Kavumu.

Wahudumu 2 na abiria 1 walifariki katika ajali hiyo.

Chanzo cha ajali hiyo bado hakijatambulika.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad