AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Watu watatu wameripotiwa kupoteza maisha baada ya ndege ya kibiashara iliyokuwa imewabeba kuanguka muda mfupi baada ya kuruka kutoka mkoa wa Kivu Kusini, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).
Kulingana na ripoti za vyombo vya habari vya kitaifa, ndege hiyo ya kibiashara ilianguka muda mfupi baada ya kuruka kutoka Uwanja wa ndege wa Kavumu.
Wahudumu 2 na abiria 1 walifariki katika ajali hiyo.
Chanzo cha ajali hiyo bado hakijatambulika.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK