AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bondia na YouTuber #Logan Paul amefanikiwa kumaliza pambano la Raundi 8 huku akikataa K.O dhidi ya bingwa wa masumbwi duniani Floyd Mayweather
Pambano hilo lililokuwa la maonyesho hakupatikana mshindi kutokana na kanuni za mapambano ya maonesho (ExhibitionFights), mshindi hupatikana kwa K.O
Sheria za pambano hilo zilikuwa ni kila round itachezwa kwa dakika 3, Hakuna Mshindi atakaetangazwa kwa ushindi wa point pia hakukuwa na Majaji.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK