AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbunge wa Viti Maalum, Judith Kapinga amesema watu wanaofariki na kuacha fedha kwenye mitandao kama TigoPesa, M-Pesa, Airtel Money na nyinginezo wanazinufaisha Kampuni za Mawasiliano huku Serikali ikiwa haipati kitu
Ameishauri Serikali iweke utaratibu ili ndugu wa karibu waweze kudai fedha hizo na Serikali kunufaika kwa upande mwingine ili Mitandao hiyo isinufaike pekee yake kutokana na fedha nyingi ambazo waliofariki huziacha
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK