Kuwe na Utaratibu wa Kufuatilia Fedha Kwenye Mitandao ya Simu Kwa Watu Wanaofariki

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mbunge wa Viti Maalum, Judith Kapinga amesema watu wanaofariki na kuacha fedha kwenye mitandao kama TigoPesa, M-Pesa, Airtel Money na nyinginezo wanazinufaisha Kampuni za Mawasiliano huku Serikali ikiwa haipati kitu

Ameishauri Serikali iweke utaratibu ili ndugu wa karibu waweze kudai fedha hizo na Serikali kunufaika kwa upande mwingine ili Mitandao hiyo isinufaike pekee yake kutokana na fedha nyingi ambazo waliofariki huziacha

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad