Ndege ya Makamu wa Rais Marekani Yatua Muda Mfupi Baada ya Kupaa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Tatizo la kiufundi limepelekea ndege ya Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris kurejea #Maryland takriban dakika 30 baada ya kuondoka kuelekea Guatemala na #Mexico

Air Force Two ilitua salama huku Harris akisema yupo sawa na wote walifanya maombi. Aliondoka kwa ndege nyingine saa moja na nusu baadaye

Msemaji wa Makamu wa Rais amesema muda mfupi baada ya kuruka wafanyakazi wa ndege waligundua gia ya kutua haikuwa inavyotakiwa, na ingeweza kusababisha matatizo zaidi ya kiufundi


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad