Oscar Oscar Akatwa Kwenye Mchakato wa Urais TFF

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mwandishi wa Habari na Mchambuzi wa michezo nchini wa kituo cha Radio EFM na TVE, Oscar Oscar leo ametangaza kupokea E-Mail kutoka Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF)  kuwa amekatwa  kwenye mchanakato wa Urais TFF

 Osca ametoa taarifa hiyo kupitia katika ukurasa wake wa instagram ma kuandika hivi;

Muda mchache uliopita Nimepokea E-mail kutoka Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) nikijulishwa kuwa NIMEKATWA kwenye mchakato wa Urais wa TFF.

Nitawapa Taarifa zaidi!

Oscar Oscar alikwe kuchukua fomu kwanda kuchukua fomu juni 9, kwa ajili ya kuwania nafasi ya Urais katika Shirikisho hilo ambapo uchaguzi wa kikatiba unaotarajiwa kufanyika mapema mwezi Agosti mwaka huu 2021.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad