Oscar Oscar "Yanga Wapo Serious Suala la Morrison, Wana Watu Makini na Wanaweza Kushinda Kesi Dhidi ya Simba Mtashangaa"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mtangazaji wa Efm na TVE Oscar Oscar ameeleza kuwa Yanga wanaweza kushinda kesi ya Morrison kwa sababu wapo na watu sahihi na wapo serious na kesi ile maana wamejiridhisha.


Mbali na hilo ameeleza kuwa endapo Yanga wasipopelekea timu uwanjani kama maneno yanavyosikika watakuwa wameleta picha mbaya sana na anaomba TFF wachukue sheria kufuata sheria za mpira ambapo timu inatakiwa kushuhwa madaraja mawili. pia amemtahadharisha msemaji wa Yanga Hassan Bumbuli kwa kauli zake anazozitoa kuwa Yanga ameshacheza na Simba wao wamebakiza michezo minne tu.

Bongo5

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad