AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mtangazaji wa Efm na TVE Oscar Oscar ameeleza kuwa Yanga wanaweza kushinda kesi ya Morrison kwa sababu wapo na watu sahihi na wapo serious na kesi ile maana wamejiridhisha.
Mbali na hilo ameeleza kuwa endapo Yanga wasipopelekea timu uwanjani kama maneno yanavyosikika watakuwa wameleta picha mbaya sana na anaomba TFF wachukue sheria kufuata sheria za mpira ambapo timu inatakiwa kushuhwa madaraja mawili. pia amemtahadharisha msemaji wa Yanga Hassan Bumbuli kwa kauli zake anazozitoa kuwa Yanga ameshacheza na Simba wao wamebakiza michezo minne tu.
Bongo5
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK