AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwimbaji wa muziki wa RnB, R. Kelly amehamishiwa Gereza lililopo mjini Brooklyn, New York ambapo atakuwa hapo kabla ya kesi kuanza kusikilizwa mwezi Agosti mwaka huu.
Tovuti ya Magereza imethibitisha kuwa siku ya Jumatano wiki hii Kelly alikuwa tayari amewasili katika Gereza la Metropolitan Detention Center huko Brooklyn.
Tangu mwaka 2019 R. Kelly alikuwa akishikiliwa katika Gereza la MCC kwa makosa matatu ikiwemo la unyanyasaji wa kingono kwa wasichana wenye umri mdogo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK