RASMI: Vodacom yatangaza kujitoa udhamini wa Ligi Kuu.

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kampuni ya Simu za Mkononi ya Vodacom Tanzania imetangaza kujiondoa kwenye kudhamini Ligi Kuu Soka Tanzania Bara.

Taarifa iliyothibitisha leo Juni 8, na Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi (TPLB), Almas Kasongo, Vodacom imekuwa ikipitia wakati ngumu wa kifedha hatua iliyosababisha kushindwa kutekeleza vipengele muhimu vya kimkataba ikiwamo kushindwa kutoa nauli kwa vilabu.

Vodacom walisaini mkataba wa miaka mitatu wa udhamini wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara. Mkataba huo ulikuwa na thamani ya Shillingi bilioni 9 ambapo kila mwaka ilikuwa Shilling bilioni 3 na ulitakiwa kumalizika msimu wa 2021/22.

Je, tunaweza kubadilika kutoka VPL mpaka APL? 


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad