Waziri akataza adhana isitolewa kwa sauti kubwa, Sheikh amtaka aombe radhi wenzake wamgeuka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Viongozi wa Kiislamu nchi Muslim Burundi wamejitenga na kauli iliyotolewa na mmoja wao kumkosoa waziri wa mambo ya ndani aliyetoa wito kwa mashekhe kupunguza sauti ya adhana ya asubuhi ili isiwe kero kwa umma.



Katika kikao cha pamoja na viongozi wa kidini, Waziri wa Mambo ya ndani wa Burundi Gervais Ndirakobuca aliwaomba viongozi kidini wasipige kelele wakati wa maombi ya usiku na kwa wenzao wa Kiislamu kupunguza sauti ya Adhana (wito wa sala) wakati wa alfajiri.

Jumanne asubuhi Ndikumana Rashid, alisikika akimkaripia waziri na kumtaka afutilie mbali matamshi aliyotoa na kuomba msamaha.

Bw. Rashid alisema kauli ya waziri ni shambulio la moja kwa moja dhidi ya dini ya Kiislamu.

Wawakilishi wa Waislamu hata hivyo wamesema Bw. Rashid atawajibikia kauli yake kwa kumtukana waziri.

Kwa mujibu wa BBC. Mkuu wa Baraza la Waislamu nchini Burundi Zuberi Mohamed, amesema hakuna mzozo kati ya Waislamu na serikali akiongeza kuwa wito wa sala jimbo la kawaida.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad