Baada ya Barua ya SIMBA Kuachana na Haji Manara Hivi Ndivyo Alivyoondoka Simba na Kusem Hili

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Haji Manara Ameandika Haya muda mchache baada ya Simba Kutoa Barua Kuwa wameachana nae:

Kila tunapomaliza Mechi yoyote ile ya Simba,neno langu la kwanza baada ya matokeo yoyote yale ni Alhamdulillah 

Kwa wanaofuatilia page hii wanatambua hilo.

Kwangu neno hili ndio Msamiati nnauotumia mara nyingi zaidi na hufanya hv kwa kila jambo ,liwe jema au baya

Yes neno langu ni moja tu

AL-HAMDULILLAH

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad