Pamoja na Kushida Dhidi ya Yanga Lakini Pengo la Haji Manara Limeonekana..Derby Haikuwa na Hamasa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mdau Ameandika 👉"🖐Mnyonge Mnyongeni Haki Yake Mpeni Derby Ya Awamu Hii haikuwa na Hamasa Kabisa Sababu Ya Huyu Jamaa @hajismanara Kwa Vile Anamatatizo Derby imeonekana Ya Kawaida Tu
Jamaa Anamchango Mkubwa Sana Kwenye Soka Letu Mie Yanga Lakini Namkubali 

Simba Mkimpoteza Huyu Jamaa ItawaCost Sana Sana Na Kuvuka Hatua Ya Makundi Ligi Ya Mabigwa Afrika Hamtavuka Tupo Hapa🤗 Mtafutana Mchawi nani Na Mtatimuana 😃 Hata Huyo Mo Boss Wenu Atawakimbia 💪 "

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad