Baba Levo "Msanii Kusainiwa Na DiamondPlatnumz Au Alikiba Ni Bahati Ya Mtende

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa Bongofleva Ndani Ya Kipindi Cha WasafiFM BabaLevo Amefunguka Na Kusema Kusainiwa Na DiamondPlatnumz Au Alikiba Ni Bahati Ya Mtende, Wasanii Wengine wamekalia kusema wao wakubwa huku mambo hayaendi kumbe wakongwe 

Hiyo Yote akimaanisha nguvu yao Kutokana Na Wimbi Kubwa La Ushindani Katika Muziki Wa Bongofleva Pande Hizo Mbili. "Team Alikiba, Team DiamondPlatnumz "

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad