Ben Pol na Aliyekuwa Mchumba Wake Anarlisa Kutoja Kenya Kugawana Mali?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mtangazaji Frida Amani kutoka Clouds FM amemuuliza Mwanamuziki Ben Pol aliyekuwa mume wa Mrembo Tajiri Arnelisa kutoka Kenya kuhusu mchongo wa kugawana mali baada ya kuachana na Mrembo Anerlisa ambaye alikuwa Mke wake, majibu ya Ben Pol ni 👇🏽

“Mimi na aliyekuwa mke wangu hatukusaini chochote kuhusu mali, pili hatukuchuma chochote kwenye ndoa yetu na tatu hicho hakikuwa kipaumbele changu! Imebaki hivyo tu,” -@iambenpol •
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad