Bunge Lathibitisha: Wabunge Wote Wanakatwa Kodi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Ofisi ya Bunge la Tanzania imesema, wabunge kama ilivyo kwa watumishi wengine wa umma na viongozi wa kisiasa wanakatwa kodi zote stahiki kwa mujibu wa sheria ikiwemo kodi ya mapato (PAYE) inayokatwa kwenye mishahara ya wabunge. Imesema taarifa zinazosambaa hawakatwi hazina ukweli.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad