DC Msando Apata Ajali Mbaya ya Gari

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




MKUU wa wilaya ya Morogoro Albert Msando amepata ajali maeneo ya Dakawa mkoani Morogoro baada ya gari aliyokuwa amepanda kugongana uso kwa uso na gari lingine lilokuwa linaelekea.





Ajali hiyo imetokea wakati mkuu huyo wa Wilaya akiwa kwenye msafala wa ziara ya waziri Mkuu uliokuwa unatoka Dakawa kuelekea Morogoro mjini.


Mkuu wa wilaya pamoja na dereva wake wote wamelazw katika hospital ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad