Nandy alamba dili Guinness, Afunguka Sakata la Billnass na Mtoto

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





NYOTA wa Muziki wa Kizazi kipya, Faustine Mfinanga ‘Nandy’, amewashukuru wadau wa muziki nchini kwa kumshika mkono hadi kufikia kupata mikataba minono.

Akizungumza Dar es Salaam leo Jumamosi Agosti 14, 2021, katika hafla ya kutangazwa kuwa Balozi wa kinywaji cha Guinness Pan Africa, Nandy amesema mafanikio yake yanachangiwa na upendo wa wadau wa muziki.

“Nashukuru uongozi wa Guinness, kwa kunipatia ubalozi katika Pwani ya Afrika naahidi kufanya kazi yangu kwa ufasaha, kikubwaa nawashukuru wadau wa muziki wangu kwa kunishika mkono ndio maana leo hii thamani yangu inazidi kukua,” amesema Nandy

Aidha, Nandy amezungumzia picha ya mtoto ambayo aliweka mpenzi wake Bilinass katika mtandao wa Istagram na kusema kuwa anahisi picha hiyo ni ya mtoto wake.


“Bilinass anapenda watoto, nahisi ile picha itakuwa ya mtoto wake japo yeye mwenyewe haja niambia zaidi ya kufahamu anahitaji mtoto,” amesema Nandy.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad