Hatma ya Mchezaji Christiano Ronaldo..Real Madrid Waweweseka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kwa mujibu wa Edu Aguirre ambaye ni Rafiki wa karibu wa Ronaldo kwenye interview yake usiku wa kuamkia leo ni kuwa Kocha Carlo Ancelotti ndie anahitaji Ronaldo arejee Real MadridReposted from @shaffihdauda_ HATMA YA CRISTIANO RONALDO| @asas_dairies Kww mujibu wa Edu Aguirre ambaye ni Rafiki wa karibu wa Ronaldo kwenye interview yake usiku wa kuamkia leo ni kuwa Kocha Carlo Ancelotti ndie anahitaji Ronaldo arejee Real Madrid Carlo amekuwa akipiga simu nyingi kwa watu wa Ronaldo juu ya Mreno kurejea, huku Viongozi wa Madrid wakikubaliana na matakwa ya Kocha wao Ronaldo yupo tayari kurejea Real Madrid, huku wachezaji wa Madrid pia wana furaha kubwa juu ya urejeo wa Cristiano Ronaldo Kilichosalia mpaka sasa ni kuona kama anaondoka msimu huu au mwishoni mwa msimu, ila Don Carlo anamuhitaji sana

Carlo amekuwa akipiga simu nyingi kwa watu wa Ronaldo juu ya Mreno kurejea, huku Viongozi wa Madrid wakikubaliana na matakwa ya Kocha wao

Ronaldo yupo tayari kurejea Real Madrid, huku wachezaji wa Madrid pia wana furaha kubwa juu ya urejeo wa Cristiano Ronaldo

Kilichosalia mpaka sasa ni kuona kama anaondoka msimu huu au mwishoni mwa msimu, ila Don Carlo anamuhitaji sana
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad