Manara "Naomba Serikali Inilinde Nani Amempa MO Mamlaka ya Kudukua Simu yangu"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


“Kwenye hili la kudukuliwa simu yangu naomba serikali inilinde, ni nani amempa mamlaka Mohammed Dewji ya kudukua simu yangu, ubaya sio mimi tuu niliyedukuliwa niliona majina ya wanasimba wengi wanaodukuliwa.

“Waliniita ofisini nikaenda wakaniambia jana ulionekana umeenda kigamboni Kwa Ghalibu kutuhujumu, walinionyesha simu inayoonyesha kuwa nilikuwa Kigamboni lakini nilipoangalia tarehe ilinionyesha ilikuwa tarehe 7 muone jinsi hawa watu walivyokuwa wananichukia,” @hajismanara

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad