AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya kula bata ughaibuni Dubenga {DUBAI} Mrembo wa bongo movie Irene Uwoya ametua visiwani Pemba kwa ajili ya kile anachodai yeye kutumbua jasho lake {BATA}.
msafara wake umewashtua wana Pemba na kuwaacha midomo wazi kwa kile kinachodaiwa kuwa ni msafara wa kukata na shoka .
mwanadada huyu amezua taharuki tangu aonekane kwenye mitandao ya kijamii akiponda mali uku watoto wa mjini wakiita [BATA} amefanya kufuru ya pesa na yeye akidai kwamba ni moja ya kinachompa furaha katika maisha yake na familia yake kwa ujumla.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK