Mwendelezo wa Bata kwa Mrembo Uwoya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA






Baada ya kula bata ughaibuni Dubenga {DUBAI} Mrembo wa bongo movie Irene Uwoya ametua visiwani Pemba kwa ajili ya kile anachodai yeye kutumbua jasho lake {BATA}.

msafara wake umewashtua wana Pemba na kuwaacha midomo wazi kwa kile kinachodaiwa kuwa ni  msafara wa kukata na shoka .

mwanadada huyu amezua taharuki tangu aonekane kwenye mitandao ya kijamii akiponda mali uku watoto wa mjini wakiita [BATA} amefanya kufuru ya pesa na yeye akidai kwamba ni moja ya  kinachompa furaha katika maisha yake na familia yake kwa ujumla.


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad