Waziri Simba Chawene "Wanaowafumania Wapenzi Wakiwa Faragha Kisha Kuwapiga na Kuwarekodi Video Wakamatatwe"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Baada ya kuitazama video inayosambaa ikionesha Mwanaume na Mwanamke wakiwa bila nguo wakipigwa na wanaodai kuwafumania, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi George Simbachawene ameliagiza Jeshi la Polisi kuwakamata Watuhumiwa waliowashambulia Wapenzi wakiwa kwenye faragha wakidai kuwa wamewafumania.

“Hivi karibuni kumejitokeza tabia ya baadhi ya Watu wanawavamia Wapenzi ambao wanafanya faragha zao, tabia hii ambayo imeshamiri kama clip nyingi zinavyorushwa ni kinyume cha Sheria kabisa kuwaingilia Watu walio kwenye faragha na wakati mwingine wengine kufanya hivyo kwa kisingizio kwamba wamefumania, litakuwa fumanizi kama halijawa jambo la kupanga au Watu kujikusanya na kwenda kuvamia sehemu na pia lazima Mke au Mume awe na cheti halali cha ndoa na sio kusema huyu alikua hawara yangu”

“Wanaodhalilika zaidi katika hili ni Wanawake, wengine wanakuwa uchi wa mnyama hawana nguo wanapata kipigo, naaagiza Polisi Mikoa yote kufuatilia hasa lile tukio linalozunguka kuanzia jana kuhakikisha wanakamatwa na kufikishwa Mahakamani” ——— George Simbachawene.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad