AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Maafisa wa Taliban wamevunja maandamano ya Wanawake kadhaa huko #Kabul. Imeelezwa Wanawake hao walikuwa wanadai Haki ya kufanya kazi na kujumuishwa Serikalini
Kundi hilo limesema mabomu ya machozi yalitumika kuwasambaratisha wakati wakijaribu kutembea kwenda Ikulu ya Rais
Huu ni mwendelezo wa maandamano kadhaa ya Wanawake Kabul na #Herat. Wengi wana hofu hali itarejea kama iliyokuwa kati ya 1996 na 2001 ambapo Taliban walishika Madaraka
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK