AFGHANISTAN: TALIBAN YAVUNJA MAANDAMANO WA WANAWAKE KUDAI HAKI

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Maafisa wa Taliban wamevunja maandamano ya Wanawake kadhaa huko #Kabul. Imeelezwa Wanawake hao walikuwa wanadai Haki ya kufanya kazi na kujumuishwa Serikalini

Kundi hilo limesema mabomu ya machozi yalitumika kuwasambaratisha wakati wakijaribu kutembea kwenda Ikulu ya Rais

Huu ni mwendelezo wa maandamano kadhaa ya Wanawake Kabul na #Herat. Wengi wana hofu hali itarejea kama iliyokuwa kati ya 1996 na 2001 ambapo Taliban walishika Madaraka
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad