AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanamume mmoja raia wa Zimbabwe ameshtakiwa kwa ulaghai baada ya kujifanya Makamuwa rais wa nchi hiyo na kupata huduma ya matibabu bila malipo.
Mahakama katika mji mkuu wa Harare, alifahamishwa kuwa Marlon Katiyo, 35, alitembelea hospitali mbili mara kadhaa mwezi uliopita kupata matibabu ya maumivu ya kichwa akisema kwamba alikuwa, Makamu wa Rais Constantino Chiwenga.
Bwana Katiyo, amabye hajatoa tamko lolote kuhusiana mashtaka hayo alipewa matibabu ya bure.
Ombi la dhamana alilowasilisha linatarajiwa kusikizwa siku ya Ijumaa.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK