Anayedai Kuwa Mtoto Wa Mzee Yusuf Aibuka; Baba Amenikataa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Hamad Hassan Mashauri mwenye umri wa miaka 18, mkazi wa Charambe Magengeni jijini Dar es Salaam, ameibuka na kudai kuwa yeye ni mtoto wa mkongwe wa muziki wa Taarab nchini, Mzee Yussuf almaarufu Mfalme.

 

Akizungumza na waandishi wetu, Hamad ambaye pia ni msanii chipukizi wa Singeli, amedai kuwa amewahi kumtafuta Mzee Yussuf na kufanikiwa kukutana naye ana kwa ana lakini tofauti na matarajio yake, mkongwe huyo wa Taarab alimkana hadharani na hata alipoeleza kwamba yupo tayari wakapime DNA, bado aliendelea kushikilia msimamo wake kwamba hamtambui.

 

Waandishi wetu wamefanikiwa kumtafuta Mzee Yussuf na kumhoji kuhusu sakata la kijana huyo ambaye mwonekano wake unashabihiana kwa karibu na msanii huyo mkubwa.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad