Kesi ya Mbowe kuendelea leo mahakama kuu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Leo Septemba 23, 2021 saa nane mchana, inatarajia kutoa uamuzi mdogo kuhusu mapingamizi ya Serikali katika Kesi ya Kikatiba namba 21/2021 iliyofunguliwa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe.

Mbowe alifungua kesi hiyo, dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, DPP na IGP. akipinga hatua ya kushtakiwa kwa makosa ya ugaidi ambapo kwa mara ya kwanza kesi hiyo ilitajwa Agost 9, 2021.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad