Baada ya Diamond Kuvaa Cucci Feki MDAU Afunguka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Baada ya account inayojihusisha na kubainisha mastaa wanaovaa bidhaa feki za Gucci, @fake_guccicommunitysa watu wengi wametoa maoni yao baada ya Account hiyo kumpost staa wa Bongo Flava @diamondplatnumz akiwa amevalia viatu vya Gucci vinayodaiwa ni feki na ikisisitizwa bidhaa hizo hazijawahi tengenezwa na Gucci na havitarajiwi kutengenezwa na kampuni hiyo,kilichofanyika ni danganya toto ya mfanano wa bidhaa za Gucci.

Mmoja wa waliotoa maoni kwa page hiyo amedai Gucci wanapaswa kumpa sifa zake msanii huyo maana kila fundi anayetengeneza bidhaa hizi zinamkaa vizuri. Na wakumbuke jukwaa lao si kuibua haya pekee bali kukuza wabunifu waliofichika.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad