Billnass Hata Uwe na Pesa Vipi Bado Hutaweza Kuibeba Maiti yako wala Kujizika Mwenyewe"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



"Kwenye Maisha hakuna Kumaliza ama kuyaweza mpaka siku Unafukiwa chini, Jiulize ni watu wa ngapi umewahi kuwajua walikuwa Maaarufu mpaka ukadhania wamemaliza lakini leo huyakumbuki majina yao kwa ukubwa huo?? Je! ni wangapi walikuwa na Biashara zilizoshamiri na leo wamefilisika?? Wangapi walikuwa na Nguvu kiasi cha kuona hakuna anaemuweza lakini leo hawana tena ?? Wangapi walikuwa na Nyumba ama gari za kifahari na leo hawana hata kimoja?? Hakuna Utajiri Mzuri kama Kuishi na Watu Vyema...Hata Uwe na Pesa Kumzidi Bill Gates Bado hutaweza kuibeba maiti yako wala kujizika mwenyewe...Hata Uwe Maarufu kumzidi Michael Jackson Bado utahitaji watu ! Ukiwa Mwizi utawaibia Watu,ukiwa Muimbaji Utawaimbia Watu,ukiwa Muhubiri Utahubiria Watu,So Heshimu sana Watu Ishi Vizuri na Kila Mtu....hakuna Dunia Bila Watu 🙏🏿🙏🏿 "...>>BY (@billnass)

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad