Bunge lapitisha sheria kuwa kukutwa na bangi au mirungi ni jinai

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Bangi na Mirungi imeongezwa kwenye makosa ya Jinai, na sasa kesi ya kukutwa nayo itasikilizwa Mahakama Kuu au Mahakama za Wilaya

Awali, kukutwa na Mirungi ilikuwa kosa lakini Sheria haikutamka kuwa ni jinai hadi Muswada ulipopitishwa rasmi Septemba 7 na Bunge la Tanzania


Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Prof. Adelardus Kilangi amesema lengo la marekebisho hayo ni kupunguza mrundikano wa kesi zinazosubiri kupelekwa Mahakama Kuu kusikilizwa
 


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad