AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bangi na Mirungi imeongezwa kwenye makosa ya Jinai, na sasa kesi ya kukutwa nayo itasikilizwa Mahakama Kuu au Mahakama za Wilaya
Awali, kukutwa na Mirungi ilikuwa kosa lakini Sheria haikutamka kuwa ni jinai hadi Muswada ulipopitishwa rasmi Septemba 7 na Bunge la Tanzania
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Prof. Adelardus Kilangi amesema lengo la marekebisho hayo ni kupunguza mrundikano wa kesi zinazosubiri kupelekwa Mahakama Kuu kusikilizwa
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK