Haji Manara "Ndoto Yangu ni Kuwa Rahisi Naanza na Ubunge"

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa

Msemaji wa Yanga, Haji Manara amesema ndoto yake ni kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hivyo katika kufikia Ndoto hiyo ana mpango wa kujiendeleza Kielimu ili atakapogombea Ubunge 2025 aweze kuteuliwa kuwa Waziri.

Amesema atakapokuwa Rais anaaminisha anaweka vipaumbele vya Kitaifa ambavyo hata Rais wa chama chochote aweze kufanya Mambo ambayo ni kipaumbele kwa Taifa.

Aidha, atahakikisha nchi ya Tz haipitwi na nchi nyingine jirani.

_________

LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad