Haji Manara "Ndoto Yangu ni Kuwa Rahisi Naanza na Ubunge"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msemaji wa Yanga, Haji Manara amesema ndoto yake ni kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hivyo katika kufikia Ndoto hiyo ana mpango wa kujiendeleza Kielimu ili atakapogombea Ubunge 2025 aweze kuteuliwa kuwa Waziri.

Amesema atakapokuwa Rais anaaminisha anaweka vipaumbele vya Kitaifa ambavyo hata Rais wa chama chochote aweze kufanya Mambo ambayo ni kipaumbele kwa Taifa.

Aidha, atahakikisha nchi ya Tz haipitwi na nchi nyingine jirani.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad