Hakuna Kupoa Harmonize Atangaza Siku Atakayoachia Album yake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Ni headlines za mwanamuziki kutoka TZA Tanzania🇹🇿 @harmonize_tz, akiwa nchini Marekani ametangaza mwezi October kuwa mwezi atakao achia Album yake mpya.

Hata hivyo bado haijafahamika ni album gani atakayo iachia huo mwezi, kufuatia Hivi karibuni msanii huyo anae wakilisha mkoa wa mtwara alitangaza kuanza maandalizi ya album yake nyingine aliyoipa jina la #ArizonaTheAlbum ,huku pia akitaja kukamilika kwa album yake ya #Highschool.

Harmonize tayari ana album moja sokoni ya #AfroEast iliyotoka 14 March 2020 ikiwa na jumla ya mikwaju 18.


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad