AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Juma Jux amewahi kuulizwa kwenye mahojiano na Millardayo kuwa njia ipi ambayo huwa anaitumia kumsahau mtu ambaye alikuwa naye kwenye mahusiano .
Jux alisema kwa upande wake kuwa inategemea kama ni rafiki basi pale atakapoungana urafiki na mtu mwingine basi anamsahau aliyekuwa naye kwasababu tayari kashapata gang Mpya '
Kama ni mpenzi basi akishampata mwingine automatically anamsahau aliyekuwa naye hafuti namba wala nini ila zinaweza ziwepo na asiwe na muda nazo 😊 ( kwahiyo ndugu Yetu Juma namba bado hajafuta !!??😊 )
.
Wewe ni njia ipi huwa unaitumia kumsahau Ex wako ?
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK