Ma Dancer wa Wasanii Bongo Wana Hali Ngumu Sana Kimaslahi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Muki wa Makomando ameweka wazi kuwa hali ya maisha ya dancers Tanzania ni ngumu kutokana na Mashindano yao kuja kwa msimu .

Muki amedai kuwa hali hiyo inawafanya maisha ya Dancers kuwa ngumu huku akiweka wazi kuwa Wasanii hawawalipi madancers pesa ile ambayo wanahitaji na Dancer kumdai msanii anaona atakosa nafasi ya kazi nyingine .

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad