Kumekucha Afghanistan.. Wanaume WAZUILIWA Kunyoa au Kupunguza Ndevu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Viongozi wa #Taliban wamepiga marufuku vinyozi Nchini humo kuwanyoa au kuwapunguza ndevu Wanaume, wakisema kufanya hivyo kunakiuka #Sheria ya Kiislamu

Maagizo hayo yanaashiria kurudishwa kwa Sheria kali kama zile zilizokuwepo wakati Kundi hilo lilipokuwa Madarakani awali ambapo lilipiga marufuku mitindo fulani ya nywele na kusisitiza Wanaume wafuge ndevu

Katika ilani iliochapishwa, vinyozi wametakiwa kufuata Sheria ya Kiislamu katika kunyoa nywele za kichwani na ndevu na hakuna hata mtu mmoja anayeruhusiwa kulalamika.


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad