AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Viongozi wa #Taliban wamepiga marufuku vinyozi Nchini humo kuwanyoa au kuwapunguza ndevu Wanaume, wakisema kufanya hivyo kunakiuka #Sheria ya Kiislamu
Maagizo hayo yanaashiria kurudishwa kwa Sheria kali kama zile zilizokuwepo wakati Kundi hilo lilipokuwa Madarakani awali ambapo lilipiga marufuku mitindo fulani ya nywele na kusisitiza Wanaume wafuge ndevu
Katika ilani iliochapishwa, vinyozi wametakiwa kufuata Sheria ya Kiislamu katika kunyoa nywele za kichwani na ndevu na hakuna hata mtu mmoja anayeruhusiwa kulalamika.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK