Mkurugenzi wa Upelelezi "Tumebaini Hamza Alikuwa Gaidi wa Kujitoa Mganga Hakuwa na Pesa wala Madini"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Uchunguzi uliyofanywa na Polisi umebaini kuwa Hamza Mohammed ambaye aliuawa Agosti 25, 2021 baada ya kuua watu wanne alikuwa gaidi wa kujitoa muhanga

Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Camillius Wambura amesema Hamza alikuwa akiishi kisiri huku akijifunza mambo ya kigaidi kwa kuangalia Mitandao inaoonesha matendo ya Al-Shaabab na makundi kama ISIS

Kwa mujibu wa DCI Wambura, kitendo cha Hamza kilikuwa ni kitendo cha ugaidi wa kujitoa muhanga. Pia, amesema Hamza hakuwa na madini wala fedha katika mazingira yake, akikanusha madai aliwashambulia Askari kwasababu walimdhulumu
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad