Mkuu wa Mkoa "Tutapita Nyumba Kwa Nyumba Kutoa Chanjo ya Corona"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera amesema mkoa wake ulipokea Chanjo 50,000 za #COVID19 ambapo hadi sasa waliochanja ni watu 10,000 kitu ambacho hakikubaliki kwa kuwa Serikali imetumia hela

Amesema ili kuhakikisha watu wanapata chanjo watashirikiana na Watendaji wa Vijiji na Kata ili kuhakikisha zoezi linakwenda nyumba kwa nyumba na kitanda kwa kitanda huku akisisitiza kuwa chanjo ni hiyari

Zoezi hilo linaanza leo Septemba 25, 2021

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad