AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera amesema mkoa wake ulipokea Chanjo 50,000 za #COVID19 ambapo hadi sasa waliochanja ni watu 10,000 kitu ambacho hakikubaliki kwa kuwa Serikali imetumia hela
Amesema ili kuhakikisha watu wanapata chanjo watashirikiana na Watendaji wa Vijiji na Kata ili kuhakikisha zoezi linakwenda nyumba kwa nyumba na kitanda kwa kitanda huku akisisitiza kuwa chanjo ni hiyari
Zoezi hilo linaanza leo Septemba 25, 2021
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK