Msaidizi wa rais wa Ukraine anusurika kuuawa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Msaidizi mkuu wa Rais wa Ukraine Volodymry Zelensky amenusurika jaribio la mauaji baada ya gari lake kushambuliwa kwa risasi.
 
 Mshauri wa Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ukraine, Anton Gerashchenko amesema shambulizi hilo limetokea leo asubuhi karibu na kijiji cha Lesniki. 
 
Amesema gari la msaidizi mkuu wa kiongozi huyo, Sergei Shefir lilishambuliwa na zaidi ya risasi 10 na dereva amejeruhiwa vibaya. 
 
Anton amesema polisi imeanzisha operesheni maalum kuzunguka Kiev.
 

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad