Rais wa Korea Kusini apiga marufuku ulaji wa nyama ya mbwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Rais wa Korea Kusini, Moon Jae-in amepiga marufuku ulaji wa nyama ya mbwa leo (Jumatatu), ofisi yake imesema, ikizungumzia utamaduni huo ambao umekuwa kero kwa jumuiya ya kimataifa.

Nyama hiyo imekuwa sehemu ya vyakula vya Korea Kusini, huku karibu mbwa milioni moja wakiaminika kuliwa kila mwaka, lakini matumizi yameporomoka katika miaka ya karibuni kutokana na watu kuanza kuchukulia wanyama hao kama marafiki badala ya mifugo.

Utamaduni huo sasa ni mwiko miongoni mwa kizazi kipya, huku shinikizo likiongezeka kutoka kwa wanaharakati wa haki za wanyama.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad