AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MICHEZO:Msemaji wa klabu ya Simba Ezekiel Kamwaga amesema, Didier Gomes atakaa kwenye benchi la ufundi kwenye michuano ya klabu bingwa Africa (CAF).
Amesema taarifa za kocha huyo kutokuwa na vigezo vya kukaa kwenye benchi kwenye michuano ya (CAF) wamezisikia
Msemaji huyo amefafanua kuwa kuanzia mwezi Januari watamuona Gomes kwenye benchi la ufundi.
Inasemekana Gomes alikuwa anasoma online hivyo anatarajia kuhitimu mwezi Januari.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK