AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Album ya #ABoyFromTandale ya @diamondplatnumz imefikisha jumla ya streams 30M katika mtandao wa #Spotify na kuwa album iliyosikiizwa zaidi Afrika Mashariki.
Pia Album hiyo iliyotoka tarehe 14 mwezi March 2018, ikiwa na jumla ya mikwaju 18 imeshika namba moja kwenye Orodha ya album zilizo na streams nyingi zaidi katika mtandao huo mpaka sasa.
1.@diamondplatnumz- A Boy From Tandale - 30.5M
2.@Rayvanny- Sounds From Africa - 26.2M
3.@mbosso_
- Definition Of Love - 3.6M
4.@NavyKenzo- Story Of The African Mob - 3.3M
5.@Vanessamdee- Money Mondays - 2.7M
✍🏾@keviiiy.iam
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK