Hatari ya Kichaa Cha mbwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mbwa 438 na paka Tisa katika Halmashauri ya manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wamepatiwa chanjo ya kichaa Cha mbwa na dawa za minyoo, vitamin Ili kuwakinga wanyama hao na ugonjwa huo.

Aidha chanjo hiyo imetolewa bure kupitia ufadhili wa shirika la kutetea Haki na ustawi wa wanyama TAPO katika Viwanja vya magereza Kahama.

Akizungumza na Dar24news Dr Jerome Majaliwa Said kutoka katika hospitali ya wanyama Zonal Veterinary centre – Mwanza Amesema kuwa Kuna umuhimu mkubwa wa kuwapeleka mbwa na paka kupata chanjo hiyo Ili kumkimga mnyama asipate ugonjwa huo ambao anaweza akamuambukiza mwadamu .

Aidha Dr Jerome Amesema kuwa ni muhimu kutoa Elimu ya kutosha kwenye jamii Ili jamii iweze kutambua umuhimu wa chanjo hiyo ambayo huchanjwa mara Moja kwa mwaka lakini pia kujua athari za ugonjwa huo ambao ukimpata mwanadamu ni shida kuweza kupona.

Sambamba na hayo ametoa Rai kwa wananchi wote wanaofuga mbwa na paka watambue umuhimu wa kuchanja wanyama Ili kujiepusha na athari za ugonjwa wa kichaa Cha mbwa.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad