Hatimaye Mtoto wa G Habash Malkia Karen Ajifungua Mtoto wa Kiume

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





SIYO stori kwamba, mrembo kunako Bongo Fleva, Malkia Karen alikuwa mjamzito wa miezi mingi na leo Oktoba 27, 2021 amejifungua mtoto wa kiume.

Leo ukiachia kupata mtoto pia ameachia wimbo mpya uitwayo ‘haja’ ambayo kwa ufupi tu anauonesha msimamo wake mpya kwa mtu ambae hajamtaja jina lakini mistari ameandikiwa….. “naona una zugazuga bado, kumi na nane siingii, hasira hasara kupenda sana ukaninyanyapaa nami nikaona haina maana, haina haja”

Karen ni mtoto wa Mtangazaji nguli wa Clouds FM, Gardner G. Habash
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad