AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jeshi la Polisi mkoani Kagera linamshikilia kijana mmoja aitwaye Anisetha Joanes kwa kukutwa na vifaa tiba vya hospital ya serikali pamoja na vifaa vya miundombinu ya umeme jumla vikiwa na thamani ya zaidi ya shilingi milioni 125 akitaka kuviuza katika vyuma chakavu.
Katika tukio la pili jeshi la polisi mkoani kagera linamshikilia kijana mmoja aitwaye Emmanueli Zacharia mkazi wa kijiji cha Lusahunga wialayani Biharamulo mkoani Kagera kwa kukutwa akifanya mapenzi na mbuzi kichani ambapo baada ya kuhojiwa alisema alizidiwa na tamaa za mwili.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK